Karibu AKILISMS
Kwa Wajasiriamali na Wafanyabiashara Wa Level ya chini na ya kati Tanzania.
Matumizi
AKILISMS inafanya iwe rahisi kutuma SMS moja kwa WATU wengi kutoka kwenye simu yako, hata kama hauna Laptop/Computer.
Faida Zake
Tumekuletea AKILISMS, mfumo rahisi na Mobile-Friendly wa kutuma Bulk SMS, maalumu kwa wajasiriamali, biashara za level ya chini na kati, pia watu wa kawaida wanaotafuta njia bora ya kuwafikia wateja kwa uhakika.
Pricing
Pata SMS zako papo hapo baada tu ya malipo kufanyika. Unaweza lipia kwa Mtandao katika Mfumo. kwa changamoto yoyote WhatsApp 0686255811
kifurushi cha chini kabisa, Tsh 20 kwa meseji moja
kifurushi cha chini, Tsh 18 kwa meseji moja
kifurushi cha kati, Tsh 16 kwa meseji moja
Kifurushi cha Juu, Tsh 15 kwa meseji moja
Hatua 3 Rahisi
1. Sign Up – Fungua akaunti yako kwa haraka kwa kujaza taarifa zinazohitajika, kisha subiri kuthibitishwa.
2. Chagua Package – Tafuta kifurushi kinachokufaa.
3. Tuma SMS – Anza kutuma ujumbe wako kwa mamia au maelfu ya wateja wako.